forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
370 B
Markdown
12 lines
370 B
Markdown
|
# Ingawa watawala wanapanga hila na kunikashifu
|
||
|
|
||
|
"Ingawa watawala hufanya mipango ya kunidhuru na kusema vitu vibaya kunihusu"
|
||
|
|
||
|
# Amri zako za agano ni furaha yangu
|
||
|
|
||
|
"Amri zako za agano zinanifanya kuwa na furaha sana"
|
||
|
|
||
|
# na ni ushauri wangu
|
||
|
|
||
|
Amri za Mungu zinazungumziwa kana kwamba ni watu. "na ni kama washauri wenye hekima kwangu" au "na wananipa ushauri wa hekima"
|