forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
712 B
Markdown
20 lines
712 B
Markdown
|
# Yahwe amekuwa mnara wangu wa juu
|
||
|
|
||
|
Hapa "mnara" ni sitiari ya ulinzi. "Yahwe amenilinda dhidi ya adui zangu"
|
||
|
|
||
|
# Mungu amekuwa mwamba wangu na ngome yangu
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia Mungu kumlinda kana kwamba Mungu ni sehemu ambayo mwandishi wa zaburi anaweza kwenda ili kuwa salama. "Nimemwomba Mungu kunilinda, na ameniweka salama kwa uwezo wake"
|
||
|
|
||
|
# Atawaletea juu yao udhalimu wao wenyewe
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "Atawafanyia vitu viovu walivyowafanyia wengine" au 2) "Atawaadhibu kwa matendo maovu yote aliyowatendea wengine."
|
||
|
|
||
|
# atawakata
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja inayomaanisha "atawaua"
|
||
|
|
||
|
# katika uovu wao wenyewe
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "wakati wanafanya mambo maovu" au 2) "kwa sababu wamefanya mambo maovu."
|