forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
312 B
Markdown
12 lines
312 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mstari huu ni zaidi ya mwisho wa zaburi hii. Ni kauli ya kufunga ya kitabu kizima cha 3 cha Zaburi, ambacho kinaanza katika Zaburi 73 na kuishia na Zaburi 89.
|
||
|
|
||
|
# Abarikiwe Yahwe milele
|
||
|
|
||
|
"Watu wamsifu Yahwe milele"
|
||
|
|
||
|
# Amina na Amina
|
||
|
|
||
|
Neno "Amina" linarudiwa kusisitiza kukubali kilichosemwa.
|