forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
466 B
Markdown
20 lines
466 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe unawakumbusha watu alichosema wakati wako jangwani.
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa nitawaonya
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu ninakupa onyo"
|
||
|
|
||
|
# Israeli
|
||
|
|
||
|
Hapa "Israeli" inawakilisha watu wa Israeli. "Waisraeli" au "watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# kama tu utanisikiliza!
|
||
|
|
||
|
"jinsi ninavyotamani kuwa mnisikilize" au "lakani inabidi muanze kunisikiliza!"
|
||
|
|
||
|
# Fungua mdomo wako wazi, na nitaujaza
|
||
|
|
||
|
Mungu kujali mahitaji ya watu inazungumziwa kana kwamba alikuwa ni ndege anawalisha makinda yake.
|