forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
558 B
Markdown
28 lines
558 B
Markdown
|
# Anahuruma kwa maskini na wahitaji
|
||
|
|
||
|
"Anataka kuzuia maskini na wahitaji kuhangaika"
|
||
|
|
||
|
# maskini na wahitaji
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "maskini" na "wahitaji" yana maana ya kufanana na yanasisitiza kwamba hawawezi kujisaidia wenyewe.
|
||
|
|
||
|
# Anaokoa maisha yao
|
||
|
|
||
|
"Anawaokoa" au "Anawakomboa"
|
||
|
|
||
|
# ukandamizaji na vurugu
|
||
|
|
||
|
Maneno haya mawili yana maana zinazo fanana na yanasisitiza jinsi wahitaji wanavyohangaika. "wale wanao wakandamiza na kuwaumiza"
|
||
|
|
||
|
# damu yao ni ya dhamani machoni pake
|
||
|
|
||
|
"anataka waishi vizuri"
|
||
|
|
||
|
# damu yao
|
||
|
|
||
|
"maisha yao" au "hali yao"
|
||
|
|
||
|
# machoni pake
|
||
|
|
||
|
"kwake"
|