forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
619 B
Markdown
28 lines
619 B
Markdown
|
# Midomo yangu itapiga kelele ya furaha
|
||
|
|
||
|
"Midomo" ni njia nyingine ya kusema mtu mzima. "Nitapiga kelele ya furaha"
|
||
|
|
||
|
# hata nafsi yangu, ambayo umeikomboa
|
||
|
|
||
|
"na nafsi yangu, ambayo umekomboa, itaimba sifa"
|
||
|
|
||
|
# nafsi yangu
|
||
|
|
||
|
Hapa "nafsi" inamaanisha mtu mzima"
|
||
|
|
||
|
# Ulimi wangu pia utazungumza
|
||
|
|
||
|
Hapa "ulimi" unamaanisha mtu mzima. "nitazungumza pia"
|
||
|
|
||
|
# wameaibishwa na kuchanganywa, wale waliotafuta kuniumiza
|
||
|
|
||
|
"wale walio tafuta kuniumiza wameaibishwa na kuchanganywa"
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa wameaibishwa na kuchanganywa
|
||
|
|
||
|
"kwa kuwa Mungu amewaaibisha na kuwachanganya"
|
||
|
|
||
|
# wale waliotafuta kuniumiza
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha adui wa mwandishi.
|