forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
331 B
Markdown
12 lines
331 B
Markdown
|
# utajibu
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "utanijibu" au 2) "utawajibu adui zangu."
|
||
|
|
||
|
# wasinicheke
|
||
|
|
||
|
"hawatafurahi juu ya shida yangu"
|
||
|
|
||
|
# Kama mguu wangu ukiteleza
|
||
|
|
||
|
Hapa "mguu" unmwakilisha mwandishi. Kuteleza kwa mguu wake ni sitiari inayomaanisha matatizo ya mwandishi na bahati mbaya. "Kama nikifanya makosa ya kunisababishia taabu"
|