sw_tn/psa/037/011.md

24 lines
709 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# wapole
Hii inamaanisha watu walio wapole. "watu wapole"
# watarithi nchi
Kumiliki nchi kunazungumziwa kana kwamba itapokelewa kama urithi. "watapokea nchi kama urithi wao" au "wataishi kwa usalama katika nchi"
# mtu mwovu
Hii haimaanishi mtu bayana. Inamaanisha watu waovu kwa ujumla. "mtu mwovu"
# mwenye haki
Hii haimaanishi mtu bayana. Inamaanisha watu wenye haki kwa ujumla. "mtu mwenye haki"
# kusaga meno
Mtu mwovu anamchukia mtu mwenye haki sana hadi anasaga meno yake pamoja kuonesha hasira yake.
# siku yake inakuja
Inadokezwa kuwa "siku yake" itakuwa siku ya hukumu. "siku inakuja ambapo Yahwe atamhukumu na kumwadhibu" au "siku inakuja ambapo Yahwe atamhukumu na kumwadhibu mtu mwovu"