forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
709 B
Markdown
24 lines
709 B
Markdown
|
# wapole
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha watu walio wapole. "watu wapole"
|
||
|
|
||
|
# watarithi nchi
|
||
|
|
||
|
Kumiliki nchi kunazungumziwa kana kwamba itapokelewa kama urithi. "watapokea nchi kama urithi wao" au "wataishi kwa usalama katika nchi"
|
||
|
|
||
|
# mtu mwovu
|
||
|
|
||
|
Hii haimaanishi mtu bayana. Inamaanisha watu waovu kwa ujumla. "mtu mwovu"
|
||
|
|
||
|
# mwenye haki
|
||
|
|
||
|
Hii haimaanishi mtu bayana. Inamaanisha watu wenye haki kwa ujumla. "mtu mwenye haki"
|
||
|
|
||
|
# kusaga meno
|
||
|
|
||
|
Mtu mwovu anamchukia mtu mwenye haki sana hadi anasaga meno yake pamoja kuonesha hasira yake.
|
||
|
|
||
|
# siku yake inakuja
|
||
|
|
||
|
Inadokezwa kuwa "siku yake" itakuwa siku ya hukumu. "siku inakuja ambapo Yahwe atamhukumu na kumwadhibu" au "siku inakuja ambapo Yahwe atamhukumu na kumwadhibu mtu mwovu"
|