forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.0 KiB
Markdown
40 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Na wale wanaotafuta maisha yangu waaibike na kunyimwa heshima
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe awaaibishe na kuwanyima heshima wale wanaotafuta maisha yangu"
|
||
|
|
||
|
# Na
|
||
|
|
||
|
"Natamani kwamba"
|
||
|
|
||
|
# wanaotafuta maisha yangu
|
||
|
|
||
|
Hapa "maisha yangu" inamaana wanatamani kumuua mwandishi. "wanaojaribu kuniua"
|
||
|
|
||
|
# Na wale wanaopanga kunidhuru wageuzwe na washangazwe
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe awageuze na kuwashangaza wale wanaopanga kunidhuru"
|
||
|
|
||
|
# wageuzwe
|
||
|
|
||
|
"wageuzwe" ni sitiari ya kushindwa kutimiza lengo lao. "kushindwa kufanikiwa"
|
||
|
|
||
|
# washangazwe
|
||
|
|
||
|
"wachanganyikiwe" au "kuwafadhaisha"
|
||
|
|
||
|
# kama makapi mbele ya upepo
|
||
|
|
||
|
Adui wa mwandishi wanazungumziwa kana kwamba ni nyasi ambayo inapulizwa kwa urahisi. "kupulizwa na upepo kama makapi"
|
||
|
|
||
|
# njia yao
|
||
|
|
||
|
Hapa "njia yao" inamaanisha maisha yao. "maisha yao"
|
||
|
|
||
|
# giza na utelezi
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha njia iliyojificha na hatari. "imejificha na imejaa hatari"
|
||
|
|
||
|
# anawafukuza
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha malaika wa Yahwe kuwa kinyume na adui wa mwandishi. "anaenda kinyume nao" au "anawapinga"
|