forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
615 B
Markdown
20 lines
615 B
Markdown
|
# Yahwe yuko karibu
|
||
|
|
||
|
Hapa "yuko karibu" inamaana "tayari kusaidia." "Yahwe yuko tayari kusaidia"
|
||
|
|
||
|
# walio vunjika moyo
|
||
|
|
||
|
Huzuni kubwa inazungumziwa kana kwamba moyo wa mtu umevunjika. "watu walio na huzuni sana"
|
||
|
|
||
|
# wale walio pondeka rohoni
|
||
|
|
||
|
Watu waliokata tamaa sana wanazungumziwa kana kwamba roho zao zimepondwa. "watu waliokata tamaa sana"
|
||
|
|
||
|
# wenye haki
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha watu wenye haki. "watu wenye haki"
|
||
|
|
||
|
# Anatunza mifupa yake yote, hakuna hata moja itakayovunjika
|
||
|
|
||
|
Hapa "mifupa yake" ni halisia, lakini pia inaashiria kuwa yahwe anamtunza mtu mzima. "Anatoa ulinzi kamili kwake, hatadhuriwa kwa njia yoyote"
|