forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
911 B
Markdown
24 lines
911 B
Markdown
|
# mwamba wangu
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumziwa kana kwamba ni mwamba mkubwa utakao mlinda mwandishi na shambulio. "kama mwamba mkubwa ambao nitakuwa salama"
|
||
|
|
||
|
# ngome yangu
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumziwa kana kwamba ni ngome imara ambao mwandishi atalindwa kutoka kwa adui zake.
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili ya jina lako
|
||
|
|
||
|
Katika msemo huu "jina" inamwakilisha Yahwe. "ili jina lako lipewe heshima" au "ili nilikuabudu"
|
||
|
|
||
|
# niongoze na unichunge
|
||
|
|
||
|
Maneno "kuongoza" na "kuchunga" yana maana sawa na yana imarisha ombi kwambaYahwe amuongoze. "niongoze pale unapotaka niende"
|
||
|
|
||
|
# Ning'oe kutoka kwenye wavu walioficha kwa jili yangu
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumziwa kana kwamba ni ndege aliye naswa katika wavu, na kumsubiri Yahwe kumweka huru kutoka kwenye mtego.
|
||
|
|
||
|
# wewe ni kimbilio langu
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumziwa kana kwamba ni sehemu ambayo mwandishi anaweza kujificha kutoka kwa watu wanao mshambulia. "wewe hunilinda daima" au "huwa unanipa ulinzi wakati wote"
|