forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
814 B
Markdown
28 lines
814 B
Markdown
|
# kuteketeza mwili yangu
|
||
|
|
||
|
Kumwangamiza mtu kabisa inazungumziwa kana kwamba ni kuangamiza mwili wa mtu. Hamaanishi kwamba walitaka kula mwili wake. "kuniangamiza"
|
||
|
|
||
|
# washindani wangu na adui zangu
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yana maana sawa. Hawa ndio watenda maovu walisogea karibu yake.
|
||
|
|
||
|
# walijikwaa na kuanguka
|
||
|
|
||
|
Hii inaashiria adui wa mwandishi kushindwa kutimiza mipango yao kumdhuru mwandishi. "hawakufanikiwa"au "walishindwa"
|
||
|
|
||
|
# Ingawa jeshi linweka kambi dhidi yangu
|
||
|
|
||
|
"ingawa jeshi linanizunguka" au "ingawa jeshi linanizunguka na mahema"
|
||
|
|
||
|
# moyo wangu hautaogopa
|
||
|
|
||
|
Hapa "moyo" unawakilisha mtu mzima. "Sitaogopa"
|
||
|
|
||
|
# ingawa vita zinainuka
|
||
|
|
||
|
Adui wa mwandishi wanazungumziwa kana kwamba wao wenyewe wako vitani. "ingawa adui zangu wanakuja kupigana na mimi"
|
||
|
|
||
|
# nitabaki na ujasiri
|
||
|
|
||
|
"nitaendelea kumtumaini Mungu kunisaidia"
|