forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
601 B
Markdown
20 lines
601 B
Markdown
|
# unamletea baraka nyingi
|
||
|
|
||
|
Nomino dhahania "baraka" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "unambariki sana" au "unampa vitu vingi vizuri"
|
||
|
|
||
|
# umeweka kichwani mwake taji la dhahabu safi
|
||
|
|
||
|
Kuweka taji juu ya kichwa cha mtu ni ishara ya kumfanya kuwa mfalme.
|
||
|
|
||
|
# taji la dhahabu safi
|
||
|
|
||
|
Hapa "dhahabu safi" inaashiria heshima kubwa anayopewa mfalme.
|
||
|
|
||
|
# Aliomba uhai; ukampa
|
||
|
|
||
|
Nomino dhahania ya "uhai" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "Alikuomba kuwa umfanye aishi kwa muda mrefu, ukaifanya itokee"
|
||
|
|
||
|
# siku ndefu milele na milele
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) maisha marefu sana au 2) masiha ya milele au 3) uzao mrefu.
|