forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
466 B
Markdown
16 lines
466 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya Daudi
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Nani aishi kwenye kilima chako kitakatifu?
|
||
|
|
||
|
"Kilima kitakatifu" hapa kinaashiria hekalu la Mungu, ambalo lilikuwa kwenye mlima Sayuni. "Nani aishi kwenye sehemu yako takatifu?"
|
||
|
|
||
|
# anazungumza ukweli kutoka moyoni mwake
|
||
|
|
||
|
"anazungumza ukweli"
|