forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
517 B
Markdown
20 lines
517 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Kwa mwanamuziki mkuu
|
||
|
|
||
|
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya Daudi
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Mpumbavu husema moyoni mwake
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja inayomaanisha kuzungumza mwenyewe au kujiwazia mwenyewe. "Mtu mpumbavu anajiambia"
|
||
|
|
||
|
# Wameharibika
|
||
|
|
||
|
walioharibika inaashiria binadamu wapumbavu wanaosema hakuna Mungu.
|