forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
532 B
Markdown
12 lines
532 B
Markdown
|
# mjeledi ni kwa ajili ya farasi, lijamu kwa ajili ya punda na fimbo ni kwa ajili mgongo wa wapumbavu
|
||
|
|
||
|
mjeledi, lijnamu na fimbo ni vitu ambavyo watu hutumia ilikuwafanya farasi, punda, na wapumbavu wanataka nini.
|
||
|
|
||
|
# lijamu kwa ajili ya punda
|
||
|
|
||
|
lijamu imetengenezwa kwa nyuzinyuzi. Watu huweka kwenye vichwa cha punda na kushikilia yuzi moja ili kumfanya punda atembee kama wanavyotaka.
|
||
|
|
||
|
# fimbo ni kwa ajili mgongo wa wapumbavu
|
||
|
|
||
|
Nyakati za Biblia watu waliweza kuwacha watoto wao au watumwa wao kwa fimbo ya mti ili kuwatia adabu.
|