forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
534 B
Markdown
20 lines
534 B
Markdown
|
# kama baridi ya theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu
|
||
|
|
||
|
mjumbe mwaminifu anafananishwa na baridi ya theluji kwa sababu vyote hivi ni vizuri.
|
||
|
|
||
|
# baridi ya theluji
|
||
|
|
||
|
Hii ni lugha ya picha kuonesha uzuri wa jambo.
|
||
|
|
||
|
# theluji
|
||
|
|
||
|
barufu ambayo hudodoka kutoka angani kama mvua
|
||
|
|
||
|
# hurejesha uhai wa bwana zake
|
||
|
|
||
|
huwafanya bwana zake walidhoofika na kuchoka kuwa imara na kubrudika tena.
|
||
|
|
||
|
# mawingu na upepo bila mvua ndivyo alivyo mwenye kujisifu ...hakutoa
|
||
|
|
||
|
"Mwenye kujisifu ...bila kutoa ni kama mawingu na upepo bila mvua
|