forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
404 B
Markdown
16 lines
404 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inaendelea na kukamilisha utangulizi ulianza katika mstari wa 22:17
|
||
|
|
||
|
# je sikuandika kwa ajili yako ...wewe?
|
||
|
|
||
|
"unapaswa kufahamu kuwa nimeandika kwa ajili ...yako"
|
||
|
|
||
|
# misemo thelathini
|
||
|
|
||
|
katika tafasiri zingine inasomeka "misemo yenye ubora"
|
||
|
|
||
|
# kwa wale waliokutuma
|
||
|
|
||
|
maana yake msikilizaji ni mtu ambaye ametumwa na watu kupata habari ya mafundisho na kuwarudishia majibu.
|