forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
484 B
Markdown
28 lines
484 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mstari wa 17 unaanza utangulizi wa sehemu mpya ya kitabu cha Mithali
|
||
|
|
||
|
# tega sikio lako na usikilize
|
||
|
|
||
|
"sikiliza kwa umakini"
|
||
|
|
||
|
# maneno ya busara
|
||
|
|
||
|
"ambayo watu wenye hekima husema"
|
||
|
|
||
|
# tumia moyo wako kwa
|
||
|
|
||
|
"fanya bidii kufahamu na kukumbuka"
|
||
|
|
||
|
# maarifa yangu
|
||
|
|
||
|
"maarifa niliyonayo, ambayo ninakupatia"
|
||
|
|
||
|
# yote yapo tayari kwenye midomo yako
|
||
|
|
||
|
"unaweza kuyaongea muda wowote"
|
||
|
|
||
|
# wewe leo
|
||
|
|
||
|
msemaji anasisitiza kuwa maneno haya nanamhusu msikilizaji wala si mtu mwingine
|