forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
507 B
Markdown
20 lines
507 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
mstari wa 15 unapinga na ule wa 14
|
||
|
|
||
|
# katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima
|
||
|
|
||
|
"mfalme anapofurahi, watu huishi"
|
||
|
|
||
|
# fadhila zake ni kama wingu ambalo huleta mvua ya masika
|
||
|
|
||
|
mfalme anapoonyesha fadhila kwa mtu ni kama wingu ambalo huleta mvua kukuza mazao
|
||
|
|
||
|
# Ni bora kiasi gani kujipatia hekima badala ya dhahabu
|
||
|
|
||
|
"Ni bora sana kupata hekima kuliko kupata dhahabu"
|
||
|
|
||
|
# yapasa zaidi kuchagua kupata ufahamu kuliko fedha
|
||
|
|
||
|
"Mtu anapaswa kuchagua kupata ufahamu zaidi kuliko kupata fedha"
|