forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
318 B
Markdown
16 lines
318 B
Markdown
|
# midomo ya watu wenye busara husambaza maarifa
|
||
|
|
||
|
"kauli ya watu wenye busara hutawanya maarifa"
|
||
|
|
||
|
# siyo mioyo ya wapumbavu
|
||
|
|
||
|
" wapumbavu hawasambazi maarifa" au " wapumbavu hawana maarifa katika mioyo yao" au "wapumbavu hawafahamu maarifa"
|
||
|
|
||
|
# watu waadilifu
|
||
|
|
||
|
"watu wanaoishi kwa haki"
|
||
|
|
||
|
# ni furaha yake
|
||
|
|
||
|
"humfurahisha"
|