forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
769 B
Markdown
32 lines
769 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inahitimisha ujumbe wa Hekima
|
||
|
|
||
|
# Hofu ya Yahwe
|
||
|
|
||
|
angalia katika 1:7
|
||
|
|
||
|
# kwa njia yangu siku zako zitazidishwa
|
||
|
|
||
|
"Nitazidisha siku zako" au " Nitasababisha uishi siku nyingi"
|
||
|
|
||
|
# kwa njia yangu
|
||
|
|
||
|
Hekima, imepewa utu kama wanamke, anaendelea kuongea hapa.
|
||
|
|
||
|
# siku zako zitazisishwa, na utaongezewa miaka ya uzima
|
||
|
|
||
|
...hekima inafaida kubwa
|
||
|
|
||
|
# utaongezewa miaka ya uzima
|
||
|
|
||
|
Nitaongeza miaka ya maisha yako" au "Nitaongeza miaka katika maisha yako" au "Nitakuwezesha kuishi muda mrefu"
|
||
|
|
||
|
# Kama ni mwenye... na kama ni mwenye dharau
|
||
|
|
||
|
watu wenye busara hufaidika wenyewe kwa sababu ya hekima yao, na wenye dharau huteseka kwa sababu ya tabia zao.
|
||
|
|
||
|
# utaichukua
|
||
|
|
||
|
Tabia mbaya wa mtu ni kama mzigo mzito ambao mtu huyo hupaswa kuubeba mgongoni mwake.
|