forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
480 B
Markdown
24 lines
480 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Hekima ananena kwa watu katika mistari 4-36
|
||
|
|
||
|
# sauti yangu ni kwa ajili ya wana wa wanadamu
|
||
|
|
||
|
Hapa "sauti" inawakilisha maneno yote yaliyoongewa "maneno yangu ni kwa ajili ya wana wa wanadamu"
|
||
|
|
||
|
# wana wa wanadamu
|
||
|
|
||
|
"watu wote"
|
||
|
|
||
|
# wajinga
|
||
|
|
||
|
"bila uzoefu, isiyo komavu/uchanga"
|
||
|
|
||
|
# kujifunza hekima
|
||
|
|
||
|
"kujifunza namna watu wenye busara hutenda" au "kujifunza maana ya kuwa mwenye busara"
|
||
|
|
||
|
# lazima mpate akili ya ufahamu
|
||
|
|
||
|
"lazima muanze kufahamu vitu kwa akili zenu"
|