forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
534 B
Markdown
28 lines
534 B
Markdown
|
# ghafla akamfuata
|
||
|
|
||
|
"kwa haraka aliamua kwenda pamoja naye"
|
||
|
|
||
|
# kama maksai akienda...kwenye mtego
|
||
|
|
||
|
ujinga na pasipo kutarajia kijana namfuata malaya ni kama vile wanyama ambavyo huwa hawajui hatari ambayo huwa inawakabili.
|
||
|
|
||
|
# machinjo
|
||
|
|
||
|
sehemu ya kuulia mnyama ili kula nyama yake
|
||
|
|
||
|
# ayala
|
||
|
|
||
|
angalia 5:18
|
||
|
|
||
|
# Hadi mshale umtoboe hadi kwenye ini lake
|
||
|
|
||
|
"mpaka mwindaji ampige kwenye sehemu zake nyeti zaidi"
|
||
|
|
||
|
# ini
|
||
|
|
||
|
kiungo hiki kinawakilisha sehemu muhimu sana ya mwili wa ayala
|
||
|
|
||
|
# ingekuwa gharama ya uhai wake
|
||
|
|
||
|
" angeweza kufa haraka"
|