forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
527 B
Markdown
24 lines
527 B
Markdown
|
# Mwabie hekima, "Wewe ni dada yangu"
|
||
|
|
||
|
"Thamini hekima kama ambavyo ungempenda dada yako"
|
||
|
|
||
|
# mwite ufahamu jamaa yako
|
||
|
|
||
|
"ufahamu uchukulie kama ambavyo ungemtendea jamaa yako"
|
||
|
|
||
|
# jamaa
|
||
|
|
||
|
"ndugu" au "mmoja wa wanafamilia"
|
||
|
|
||
|
# mwanamke malaya
|
||
|
|
||
|
Maana yake ni mwanamke yeyote ambaye mwanaume hajamwoa. " Mwanamke ambaye hupaswi kufanya naye chochote"
|
||
|
|
||
|
# Mwanamke mwovu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha ni kwa mwanamke yoyote ambaye hajulikani kwa mwanaume
|
||
|
|
||
|
# kwa maneno yake laini
|
||
|
|
||
|
"ambaye huongea vitu vya kufurahisha, lakini anataka kukudanyanya"
|