forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
420 B
Markdown
24 lines
420 B
Markdown
|
# Hutunga uovu
|
||
|
|
||
|
"huandaa ubaya" au "Hujitayarisha kufanya matendo mabaya"
|
||
|
|
||
|
# kuchochea mafarakano daima
|
||
|
|
||
|
"Siku zote husababisha kutoelewana" au " hutafuta mafarakano daima na kuyaendeleza"
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu hiyo"
|
||
|
|
||
|
# msiba wake utamkuta kwa ghafula
|
||
|
|
||
|
"msiba wake utamkamata"
|
||
|
|
||
|
# msiba wake
|
||
|
|
||
|
hii inahusu msiba utakaotokea ambao mhusika ameusababisha.
|
||
|
|
||
|
# ghafla; kwa muda mchache
|
||
|
|
||
|
kwa haraka sana au "bila kutazamia"
|