forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
287 B
Markdown
16 lines
287 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anaongea kama baba akimfundisha mtoto wake kwa kutumia shairi.
|
||
|
|
||
|
# usizisahau amri zangu
|
||
|
|
||
|
"usiyasahau niyokuagiza"
|
||
|
|
||
|
# yatunze mafundisho yangu ndani ya moyo wako
|
||
|
|
||
|
"Nilichokufundisha ukikumbuke daima"
|
||
|
|
||
|
# wingi wa siku na miaka ya uzima
|
||
|
|
||
|
utaishi maisha marefu
|