forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
689 B
Markdown
28 lines
689 B
Markdown
|
# Busara Itakulinda, ufahamu utakuongoza
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu unafikiri kwa kutafakari na kuifahamu kweli na ubaya utakuwa salama"
|
||
|
|
||
|
# Busara
|
||
|
|
||
|
hali ya kuwa makini katika matendo na maongezi
|
||
|
|
||
|
# atakulinda
|
||
|
|
||
|
kuongoza, kukinga au kumjali mtu au kitu
|
||
|
|
||
|
# Vitakuokoa kutoka katika njia ya uovu
|
||
|
|
||
|
utajua kuishi mbali na yale maovu
|
||
|
|
||
|
# kutoka katika njia ya uovu
|
||
|
|
||
|
uovu unaongelewa kama kwamba ni njia ya kupita mtu
|
||
|
|
||
|
# ambao huziacha njia za haki na kutembea katika njia za giza
|
||
|
|
||
|
mtu anapoacha kutenda haki lakini huamua kutenda uovu ni kama mtu anayeacha kutembea kwenye njia sahihi na kuchagua kutembea kwenye njia ya giza.
|
||
|
|
||
|
# ambao huacha
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "ambao" linahusu watu wenye kuongea mambo ya kupotosha.
|