forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
491 B
Markdown
20 lines
491 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa anaorodhesha maeneo ambayo Waisraeli walipita baada ya kutoka Msri.
|
||
|
|
||
|
# mwezi wa kwanza, waliondoka siku ya kumi na tano
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kihebrania
|
||
|
|
||
|
# Wana wa Israeli waliondoka waziwazi mbele ya macho ya Wamisri
|
||
|
|
||
|
"Waisraeli waliondoka wakati Wamisri wakiwaona"
|
||
|
|
||
|
# wazaliwa wao wa kwanza
|
||
|
|
||
|
"wazaliwa wao wa kwanza wa kiume"
|
||
|
|
||
|
# ka kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao
|
||
|
|
||
|
"kwa kuwa pia alikuwa amedhihirisha kuwa yeye ni mkuu kulikko miungu yao"
|