forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
404 B
Markdown
16 lines
404 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Balaamu anamaliza kutoa unabii kwa uwezo wa Roho wa Mungu
|
||
|
|
||
|
# Ananyatia kama siimba mume, na kama simba jike.
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha kuwa wako tayari kushambulia.
|
||
|
|
||
|
# Nani anayejaribu kumshambulia
|
||
|
|
||
|
"Hakuna anayethubutu kumsumbua"
|
||
|
|
||
|
# Kila mmoja anayembarki na abarikiwe; na kila mmoja anayemlaani na alaaniwe
|
||
|
|
||
|
"Mungu awabariki wale wanawabariki Waisraeli; na awalaani wale wanowalaani Wasraeli"
|