forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
347 B
Markdown
12 lines
347 B
Markdown
|
# Hivi BWANA amesema na Musa tu? Ni kweli hajawahi kusema nasi pia?
|
||
|
|
||
|
"BWANA hajasema na Musa tu. Pia amesema na sisi."
|
||
|
|
||
|
# sasa BWANA akasikia
|
||
|
|
||
|
Neno "sasa" linavuta usikivu kwa kile ambacho kinafuata baadaye.
|
||
|
|
||
|
# Sasa Musa alikuwa mtu
|
||
|
|
||
|
"Neno "sasa" limetumika kuonyesha mwanzo wa habari kuu. Msimuliaji anaeleza historia ya Musa kuhusu tabia zake.
|