sw_tn/num/02/22.md

12 lines
281 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
# Kabila litakalofuata
Hii inamaanishsakuwa kabila la Manase ndilo litakalofuata, baada ya kabila la Efraimu.
# 35,400
Wanaume 35,400