forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
517 B
Markdown
24 lines
517 B
Markdown
|
# siku kwa siku
|
||
|
|
||
|
"kila siku"
|
||
|
|
||
|
# kuanzia siku ya kwanza hadi ya mwisho
|
||
|
|
||
|
Maelezo ya habari ni kwamba ilikuwa wakati wa wiki nzima ya tamasha hilo. AT "kutoka siku ya kwanza hadi siku ya mwisho ya juma"
|
||
|
|
||
|
# Walifanya tamasha
|
||
|
|
||
|
'"Walifanya sikukuu" au "Walisherehekea tamasha"
|
||
|
|
||
|
# siku ya nane
|
||
|
|
||
|
"siku 8"
|
||
|
|
||
|
# kusanyiko zuri
|
||
|
|
||
|
Huu ulikuwa mkutano maalum wa dini.
|
||
|
|
||
|
# kwa utiifu wa amri
|
||
|
|
||
|
Taarifa iliyotarajiwa ni kwamba "amri" ilikuwa amri ya Bwana kuhusu jinsi tamasha la nyumba lilivyokuwa limeisha. AT "kama Mungu alivyoamuru"
|