forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
264 B
Markdown
8 lines
264 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Nehemia anaelezea idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. Watu walikusanywa na familia kulingana na jina la baba zao. Nambari inawakilisha idadi ya wanaume katika kila familia.
|
||
|
|
||
|
# Paroshi...Shefatia... Ara
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|