sw_tn/neh/01/06.md

16 lines
648 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# fungua macho yako
Nehemiya anasema kama Mungu anamtazama yeye akipenda kama Mungu angepoufungua macho na kumtazama. AT "kuangalia mimi' au 'makini na mimi"
# ili uweze kusikia sala ya mtumishi wako
"ili uisikie maombi ambayo mimi, mtumishi wako, ninaomba." Neno 'mtumishi' linamaanisha Nehemia. Hii ndivyo mtu anavyoweza kumtambulisha mkuu wake ili kuonyesha unyenyekevu na heshima.
# mchana na usiku
Kwa kusema kwamba anaomba wote wakati wa mchana na wakati wa usiku, Nehemia anasisitiza mzunguko wa sala zake. AT "wakati wote"
# Wote mimi na nyumba ya baba yangu
Hapa neno "nyumba" linawakilisha familia. AT "Wote mimi na familia yangu"