forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
436 B
Markdown
24 lines
436 B
Markdown
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
"Fahamu hili"
|
||
|
|
||
|
# upanga utateketeza simba wenu vijana
|
||
|
|
||
|
"askari wenu watakufa vifo si vya kawaida"
|
||
|
|
||
|
# upanga
|
||
|
|
||
|
"askari mwenye upanga"
|
||
|
|
||
|
# utateketeza
|
||
|
|
||
|
"kuwala wote"
|
||
|
|
||
|
# simba wenu vijana
|
||
|
|
||
|
"vijana wenu wenye ubora"
|
||
|
|
||
|
# Nitazuia nyara zenu kutoka kwenye nchi yenu
|
||
|
|
||
|
Neno "nyara" linarejea utajiri ambao Ninawi alipatia kutoka kwenye nchi zingine.Hii inamaanisha Yahwe ataharibu uwezo wa Ninawi wa kuiba kutoka katika mataifa mengine.
|