sw_tn/mrk/13/30.md

40 lines
1.2 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Kweli, nawambieni
Hii huonyesha kwamba sentensi inayofuata hasa ni kweli na muhimu.
# hakitapita
Ni njia ya kistaarabu kusema juu ya mtu fulani kufa. "hatakufa" au "hatakoma"
# mambo haya hayajatokea
Kifungu "mambo haya" urejea kwa siku za mateso.
# Mbingu na nchi
Huku kulikokithiri kunarejea mbingu zote, pamoja na jua, mwezi, nyote, na sayari na ulimwengu wote.
# zitapita
"itakoma kuishi" Kifungu hiki urejea kwa mwisho wa ulimwengu.
# maneno yangu hayatapita kamwe
Yesu huzungumza maneno yakutopoteza nguvu zao kama wangekuwa kitu fulani ambacho kamwe hakitakufa. "maneno yangu kwamwe hayatawapotezea nguvu zao"
# siku hiyo au saa hiyo
HIi urejea kwa wakati ambapo Mwana wa Adamu atarudi. "siku hiyo au saa hiyo ambapo Mwana wa Adamu atarudi" au " siku hiyo au saa hiyo ambapo nitarudi"
# hata malaika wa mbinguni, wala Mwana
Haya yametajwa kati ya wale wasiojua lini Mwana wa Adamu atarudi. "hata malaika mbinguni au Mwana anajua"
# malaika mbinguni
Hapa "mbinguni" urejea kwenye eneo ambalo Mungu huishi.
# ila Baba
Ni vizuri kutofasiri "Baba" na neno hilo ambalo lugha yako ya asili hutumia kurejea kwa baba wa kibinadamu. Pia, hii ni umboyai ambayo husema kwamba Baba anajua lini Mwana atarudi. "ila ni Baba anajua"