forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
740 B
Markdown
20 lines
740 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Katika kujibu maswali ya wanafunzi kuhusu kubomolewa kwa hekalu na nini kitatokea, Yesu anawambia nini kitatokea badae.
|
||
|
|
||
|
# Naye alipokuwa amekaa juu ya Mlima wa Mizeituni nyuma ya hekalu, Petro
|
||
|
|
||
|
Walipokuwa wamefika kwenye Mlima wa Mizeituni, na Yesu kuwa amekiti chini. Taarifa zinaweza kufanya kwa usahihi. "Baada ya kufika kwenye Mlima Mizeituni, ambao ulikuwa nyuma ya hekalu, Yesu chini.
|
||
|
|
||
|
# faraga
|
||
|
|
||
|
"wakati ambapo walikuwa peke yao"
|
||
|
|
||
|
# haya mambo yanatokea...yako karibu kutokea
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa kile Yesu amekwisha sema kitatokea kwa mawe ya hekalu. Hii inaweza kufanywa wazi. "haya mambo hutokea kwa majengo ya hekalu... yako karibu kutokea kwa majengo ya hekalu"
|
||
|
|
||
|
# wakati ambapo haya yote
|
||
|
|
||
|
"kwamba haya yote"
|