forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
457 B
Markdown
16 lines
457 B
Markdown
|
# Alitazama juu
|
||
|
|
||
|
"Mtu alitazama juu"
|
||
|
|
||
|
# Naona watu wanaonekana kama miti inatembea
|
||
|
|
||
|
Mtu anaona watu wanatembea, na bado hawakuwa vizuri kwake, hivyo aliwalinganisha na miti. "Ndiyo, naona watu! Wanatembea, lakini siwaoni vizuri . Wanaonekana kama miti"
|
||
|
|
||
|
# Kisha tena
|
||
|
|
||
|
"Yesu tena"
|
||
|
|
||
|
# na mtu alifungua macho yake, macho yake yaliona
|
||
|
|
||
|
Kikundi hiki cha maneno "macho yaliona" inaweza kuandikwa katika kauli tendi "Kurudisha uonaji, na mtu akafungua macho yake"
|