forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
909 B
Markdown
20 lines
909 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Wakati Herode anasikia kuhusu miujiza ya Yesu, anakuwa na wasiwasi, kufikiri kwamba mtu fulani amemfufua Yohana Mbatizaji kutoka kwa wafu. (Herode alisababisha Yohana Mbatizaji kuuwawa.)
|
||
|
|
||
|
# Mfalme Herode aliposikia hayo
|
||
|
|
||
|
Neno "hayo" urejea kwa kila kitu ambacho Yesu na wanafunzi wake walikuwa wakifanya katika miji baadhi, ikiwemo na kukemea mapepo na kuponywa watu.
|
||
|
|
||
|
# Baadhi walikuwa wakisema, "Yohana mbatizaji
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya watu walikuwa wakisema kuwa Yesu alikuwa ni Yohana Mbatizaji. Hii inaweza kusemwa kwa uwazi zaidi. "Baadhi yao walikuwa wakisema, 'Ni Yohana Mbatizaji alie rejea"
|
||
|
|
||
|
# Yohana mbatizaji amefufuliwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu alimfufua Yohana Mbatizaji"
|
||
|
|
||
|
# Baadhi yao wakasema, "Huyu ni Eliya."
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwa msaada kusema kwanini baadhi ya watu walifikiri kuwa ni Eliya. "Baadhi wao walisema, ni Eliya, ambaye Mungu aliahidi kumtuma tena."
|