forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
590 B
Markdown
24 lines
590 B
Markdown
|
# Wakati alipokuwa akiongea
|
||
|
|
||
|
"Wakati Yesu alipokuwa akizungumza"
|
||
|
|
||
|
# baadhi ya watu walikuja kutoka kwa kiongozi wa Sinagogi
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowekana ni 1) watu hawa walitokea nyumbani mwa Jarius au 2) Jarius alikuwa amewapa watu hawa maagizo kwenda kumuona Yesu au 3) watu hawa walikuwa wametumwa na mtu aliyekuwa kama mwenyekiti na kiongozi wa Sinagogi kwa kukosekana kwa Jarius.
|
||
|
|
||
|
# kiongozi wa Sinagogi
|
||
|
|
||
|
"kiongozi wa Sinagogi" ni Jarius
|
||
|
|
||
|
# kuzungumza
|
||
|
|
||
|
"kuzungumza na Jairus
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini kuendelea kumsumbua mwalimu zaidi?
|
||
|
|
||
|
"Hatupaswi kumsumbua mwalimu zaidi"
|
||
|
|
||
|
# mwalimu
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa Yesu
|