forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
430 B
Markdown
16 lines
430 B
Markdown
|
# Alimwona Simoni na Andrea
|
||
|
|
||
|
"Yesu alimuona Simoni na Andrea"
|
||
|
|
||
|
# kutupa nyavu baharini
|
||
|
|
||
|
Maana pana ya sentensi hii inaweza kuwekwa wazi. AT: "kutandaza wavu katika maji kushika samaki"
|
||
|
|
||
|
# Njoo, nifuate mimi
|
||
|
|
||
|
"Nifuate mimi" au "njoo nami"
|
||
|
|
||
|
# Nitawafanya kuwa wavuvi wa watu
|
||
|
|
||
|
Huu mfano humaanisha Simoni na Andrea watawafundisha watu ujumbe wa kweli wa Mungu, ili wengine wamfuate Yesu. AT: "Nitakufundisha namna ya kuwapata watu"
|