forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.3 KiB
Markdown
40 lines
1.3 KiB
Markdown
|
# Sentensi ya unganishi
|
||
|
|
||
|
Kitabu cha Marko huanza na nabii Isaya kusema ujio wa Yohana mbatizaji aliye mbatiza Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mwandishi wa Marko, pia aliyeitwa Yohana Marko, ambaye ni mwana wa mmoja wa wanawake aliyeitwa Mariam aliyetajwa katika injili nne. Pia ni mpwa wa Barinaba.
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hii ni jina la muhimu sana kwa Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Mbele ya uso wako
|
||
|
|
||
|
Hii ni lugha inayomaanisha "mbele yako"
|
||
|
|
||
|
# Uso wako... njia yako
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "yako" urejea kwa Yesu na liko katika umoja. Pindi unapotafasiri, tumia nomino "yako" kwa sababu ni maneno ya mtu mwingine nabii, na hakutumia jina la Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Yule
|
||
|
|
||
|
Hii urejee kwa mtumwa.
|
||
|
|
||
|
# ataandaa njia yako
|
||
|
|
||
|
Kufanya hivi humaanisha kuandaa watu kwa ajili ya ujio wa Bwana. AT:"nitaandaa watu kwa ajili ya ujio wako"
|
||
|
|
||
|
# Sauti ya yule aitae toka jangwani.
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kama sentesi. AT: "Sauti ya yule aitae toka jangwani imesikiwa" au " Wanasikia sauti ya mtu anaita toka jangwani"
|
||
|
|
||
|
# Andaa njia ya Bwana... yanyoshe mapito yake
|
||
|
|
||
|
Haya maneno humaanisha kitu kile kile.
|
||
|
|
||
|
# Ifanye tayari njia ya Bwana
|
||
|
|
||
|
"Iweke njia tayari ya Bwana." Kufanya hivi humaanisha kuwa tayari kusikia ujumbe wa Bwana unapokuja. Watu hufanya hivi kwa kutubu dhambi zao. AT: "Jiandae kusikia ujumbe wa Bwana unapokuja" au " Tubu na uwe tayari kwa ajili ya Bwana anapokuja"
|