sw_tn/mrk/01/01.md

40 lines
1.3 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi ya unganishi
Kitabu cha Marko huanza na nabii Isaya kusema ujio wa Yohana mbatizaji aliye mbatiza Yesu.
# Maelezo ya jumla
Mwandishi wa Marko, pia aliyeitwa Yohana Marko, ambaye ni mwana wa mmoja wa wanawake aliyeitwa Mariam aliyetajwa katika injili nne. Pia ni mpwa wa Barinaba.
# Mwana wa Mungu
Hii ni jina la muhimu sana kwa Yesu.
# Mbele ya uso wako
Hii ni lugha inayomaanisha "mbele yako"
# Uso wako... njia yako
Hapa neno "yako" urejea kwa Yesu na liko katika umoja. Pindi unapotafasiri, tumia nomino "yako" kwa sababu ni maneno ya mtu mwingine nabii, na hakutumia jina la Yesu.
# Yule
Hii urejee kwa mtumwa.
# ataandaa njia yako
Kufanya hivi humaanisha kuandaa watu kwa ajili ya ujio wa Bwana. AT:"nitaandaa watu kwa ajili ya ujio wako"
# Sauti ya yule aitae toka jangwani.
Hii inaweza kuelezwa kama sentesi. AT: "Sauti ya yule aitae toka jangwani imesikiwa" au " Wanasikia sauti ya mtu anaita toka jangwani"
# Andaa njia ya Bwana... yanyoshe mapito yake
Haya maneno humaanisha kitu kile kile.
# Ifanye tayari njia ya Bwana
"Iweke njia tayari ya Bwana." Kufanya hivi humaanisha kuwa tayari kusikia ujumbe wa Bwana unapokuja. Watu hufanya hivi kwa kutubu dhambi zao. AT: "Jiandae kusikia ujumbe wa Bwana unapokuja" au " Tubu na uwe tayari kwa ajili ya Bwana anapokuja"