forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
763 B
Markdown
32 lines
763 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Kwa kuwa maana za vijiji na miji, unaweza kutaka kuingiza hiyo habari katika rejea.
|
||
|
|
||
|
# Shafiri
|
||
|
|
||
|
Jina la huu mji linatamkika kama maana moja "uzuri." Lipo kinyume na "Utupu na aibu."
|
||
|
|
||
|
# katika uchi na aibu
|
||
|
|
||
|
Adui wa majeshi mara nyingi waliwafanya wafungwa wao kutembea uchi kabisa. Na kulikuwa na aibu katika kuanza kuwashinda watu.
|
||
|
|
||
|
# Zaanani
|
||
|
|
||
|
Jina la huu mji linamaanisha "kutoka nje." Wanaogopa kutoka nje na kusaidia.
|
||
|
|
||
|
# Beth Ezeli
|
||
|
|
||
|
Jina la huu linamaanisha "nyumba ya kuchukuliwa."
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa ulinzi wao umechukuliwa
|
||
|
|
||
|
"kwa kuwa nimechukua kila kitu ambacho kingeweza kuwalinda"
|
||
|
|
||
|
# Marothi
|
||
|
|
||
|
Jina la huu mji linamaanisha "uchungu."
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu janga umetoka kwa Yahwe
|
||
|
|
||
|
"Janga" ni neno la msingi katika Mika ambalo litakalojitokeza tena.
|