forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
411 B
Markdown
12 lines
411 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hii inaanzisha habari ya Yesu kukutana na wanafunzi wake
|
||
|
|
||
|
# walimwabudu, lakini wengine waliona shaka
|
||
|
|
||
|
Maana zake zaweza kuwa 1) wote walimwabudu Yesu ingawa baadhi yao waliona shaka au) Baadhi yao walimwabudu Yesu, lakini wengine hawakumwabudu kwa sababu waliona shaka
|
||
|
|
||
|
# lakini baadhi yao waliona shaka
|
||
|
|
||
|
"Wengine wlions shaka kuwa ni kweli yeye ndiye aliyekuwa Yesu na kwamba amefufuka
|