forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
852 B
Markdown
28 lines
852 B
Markdown
|
# Sentensi ungsnishi
|
||
|
|
||
|
Hii ni habari ya ufufuo wa Yesu kutoka wafu
|
||
|
|
||
|
# Baadye jioni siku ya Sabato, jua lilipokuwa likichwa kuelekea siku ya kwanza ya juma
|
||
|
|
||
|
Baada ya Sabato kuisha, jua lilipokuwa likichomoza Jumapili asubuhi"
|
||
|
|
||
|
# Baadaye
|
||
|
|
||
|
Hili ni nenolinaloonesha kuanza kwa habari mpya. Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya habari hii
|
||
|
|
||
|
# Mariamu mwingine
|
||
|
|
||
|
Huyu ni Mariamu mama wa Yakobo na Yusufu Tazma (27:54)
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" linatutahadharisha kuwa tayari kwa ajili ya taarifa kushanagaza ambazo zinafuata. Lugha yako inaweza kuwa namna ya kulisema hili.
|
||
|
|
||
|
# kulikuwa na tetemeko kubwa, kwa sabau malaika wa Bwana alishuka ... na kulivingirisha jiwe
|
||
|
|
||
|
Yaweza kumaanisha yafatayo 1) tetemeko lilitokea kwa sababu alishuka na kulivingirisha lile jiwe au 2) matukio yote haya yalitokea kwa wakati mmoja.
|
||
|
|
||
|
# tetemeko
|
||
|
|
||
|
kutetemeka ghafla kwa ardhi
|