forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
416 B
Markdown
20 lines
416 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yuda Iskaariote anakubali kuwasaidia viongozi wa Wayahudi kumkamata na kumwua Yesu
|
||
|
|
||
|
# Nikimsaliti
|
||
|
|
||
|
"kuwasaidia kumkamata Yesu."
|
||
|
|
||
|
# Vipande therathini vya fedha.
|
||
|
|
||
|
Kwa kuwa maneno haya ni sawa na yale ya unabii katika Agano la Kale, endeleza muundo huu badala ya kuugeuza katika pesa ya leo.
|
||
|
|
||
|
# Kumsaliti kwao.
|
||
|
|
||
|
"Kuwasaidia wakuu wa makuhani kumkamata Yesu."
|
||
|
|
||
|
# vipande thelathini
|
||
|
|
||
|
"vipande 30"
|