forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
523 B
Markdown
16 lines
523 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendelea kueleza mfano wa watumishi na talanta
|
||
|
|
||
|
# Unachuma mahali ambapo hukupanda, na unavuna mahli ambapo hukupanda.
|
||
|
|
||
|
Maelezo haya mawili yanamaanisha kitu kilekile. Mtumwa anamlaumu bwana kwa kukusanya mazao ambayo siyo yake. "Unakusanya mazao ya bustani kutoka katika bustani ambazo huna haki ya kukusanya mazao hayo."
|
||
|
|
||
|
# Kupanda
|
||
|
|
||
|
Siku hizo walizoea kutupa kiasi kidogo cha mbegu pande zote badala ya kupanda katika mistari.
|
||
|
|
||
|
# Tazama, unapata ile ile ya kwako.
|
||
|
|
||
|
"Angalia, hii n"diyo yako"
|