forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
931 B
Markdown
24 lines
931 B
Markdown
|
# Nawaambieni
|
||
|
|
||
|
Hii inaongeza msisitizo juu ya kile ambacho Yesu anasema baadaye
|
||
|
|
||
|
# wa..
|
||
|
|
||
|
Kiwakilishi cha wa... ni cha wingi. Yesu alikuwa anaongea na viongozi wa dini na Wayahudi pia katika ujumla wao.
|
||
|
|
||
|
# Ufalme wa Mungu utatwaliwa kutoka kwenu na kupewa taifa linalojali matunda yake
|
||
|
|
||
|
Neno "ufalme wa Mungu" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. "Mungu atawakataa, Wayahudi, na atakuwa mfalme wa watu toka mataifa mengine watakaozaa matunda"
|
||
|
|
||
|
# linalojali matunda yake
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau inayomaanisha utii. "wale wanaotii amri za Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Yeyote atakayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjwa vipandevipande.
|
||
|
|
||
|
Neno "jiwe hili" nijiwe sawa na lile la 21:42. Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa Kristo atamharibu mtu yeyote anayempinga. "Jiwe litamvunjavunja yeyote anayeanguka juu yake"
|
||
|
|
||
|
# Kwa yeyeote litayemwangukia litamsaga
|
||
|
|
||
|
Hiki ni krai kinachoonesha kuwa Kristo ndiye atakuwa hakimu wa mwisho na atamharibu kila mtu atakayempinga.
|