forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
316 B
Markdown
16 lines
316 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hii inaanzisha habari ya Yesu akiingia Yerusalemu. Yesu anawapa maalekezo ya kile wanachopaswa kufanya.
|
||
|
|
||
|
# Bethfage
|
||
|
|
||
|
Hikini kijiji kilichoko karibu na Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
# mwanapunda amefungwa
|
||
|
|
||
|
"mwanapunda ambaye amefungwa na mtu"
|
||
|
|
||
|
# amefungwa pale
|
||
|
|
||
|
"amefungwa kwenye nguzo" au "amefungwa kwenye mti.
|